Mwadini Abbas Jecha

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mwadini Abbas Jecha (amezaliwa tar. 15 Oktoba 1959) ni Mbunge wa jimbo la Wete katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CUF.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

[2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Mengi kuhusu Mwadini Abass Jecha". 19 Julai 2006. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2012-05-20. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011. 
  2. https://peoplepill.com/people/mwadini-abbas-jecha/

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]