Mustafa Mkulo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mkulo

Mustafa Haidi Mkulo (amezaliwa tar. 26 Septemba 1946) ni mbunge wa jimbo la Kilosa katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Mengi kuhusu Mustafa Haidi Mkulo". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-17. Iliwekwa mnamo 2011-11-04.  Unknown parameter |= ignored (help)