Musita
Musita ni mji katika wilaya ya Mayuge, katika Mkoa wa Mashariki huko Uganda.
Mahali[hariri | hariri chanzo]
Musita upo katika parokia ya Mulingirire, kaunti ndogo ya Baitambogwe.[1]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ LCMT (5 August 2015). Map Showing Mulingirire Parish, Baitambogwe Sub-county, Mayuge District, Eastern Region, Uganda. Land Conflict Mapping Tool (LCMT). Iliwekwa mnamo 5 Agosti 2015.
Makala hii kuhusu maeneo ya Uganda bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Musita kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |