Nenda kwa yaliyomo

Muongozo kuhusu ndege (Umoja wa Ulaya)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

[1]Muongozo kuhusu ndege, ambao hujihusisha na utunzaji wa ndege wa mwituni, uliundwa na kuasisisiwa na katiba ya Umoja wa Ulaya mnamo mwaka 2009, ukiwa na lengo kuu la kutunza ndege wote wa mwituni na makazi yao huko barani Ulaya. Halikadhalika kuunda sehemu rafiki ya utunzaji wa viumbe hao.

[2][3]Ni miongoni mwa miongozo miwili inayojihusisha na ubunifu na kutunza rasilimali za kitaifa

  1. Berend, Tibor Iván (2020). The contemporary crisis of the European Union: prospects for the future. Routledge studies in the European economy (tol. la First issued in paperback). London New York: Routledge. ISBN 978-1-138-24419-1.
  2. Bindi, Federiga M.; Angelescu, Irina, whr. (2012). The foreign policy of the European Union: assessing Europe's role in the world (tol. la 2nd ed). Washington, D.C: Brookings Institution Press. ISBN 978-0-8157-2252-6. {{cite book}}: |edition= has extra text (help)
  3. Bomberg, Elizabeth E.; Peterson, John; Corbett, Richard, whr. (2012). The European Union: how does it work?. The new European Union series (tol. la 3rd ed). Oxford New York: Oxford University Press. ISBN 978-0-19-957080-5. {{cite book}}: |edition= has extra text (help)