Mtumiaji:Eddie Ogyner

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Yanayonihusu[hariri | hariri chanzo]

Mimi ni mzawa wa Kenya na nimekuwa mhariri wa Wikipedia ya Kiingereza tangu mwezi Machi 2021.

Uhalisia wangu[hariri | hariri chanzo]

Kwa uhalisia, mimi ni mwanafunzi wa Shahada ya Awali katika Uhandisi wa programu huko Kenya. Napenda kusoma, na pia ninao uwezo wa kuchora. Pia, ni mwandishi wa riwaya. Kitabu changu cha riwaya, "A Voyage of Love's Resurgence," kilichochapishwa mwaka wa 2023, kimeongeza ladha kwenye uwanja wa fasihi. Ujuzi wangu wa kuchapisha vitabu vya fasihi umenipa uzoefu katika uandishi wa ubunifu wa kuleta hadithi za kusisimua kwa wasomaji.

Hapa Wikipedia[hariri | hariri chanzo]

Nashiriki katika jamii ya Wikipedia tangu awali, na hivi karibuni nimejiunga na Wikipedia ya Kiswahili. Unaweza kutazama kurasa ambazo nimezihariri au kuzichapisha kwa kubofya kiungo hiki.