Mtumiaji:BlessNathan

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
BlessNathan
Amezaliwa17 Juni 1997 (1997-06-17) (umri 26)
Kazi yakeMwandishi wa makala za wikipedia, Mjumbe wa Wikimedia Tanzania, Mwanateknolojia, Mwandisi Mzalendo
WazaziGodwin Rweikiza na Grace Rweikiza
NduguDoreen Rweikiza na Davina Rweikiza
Tovuti
blessingnathaniel01@gmail.com

Mambo rafiki!

Karibu mno katika ukurasa wa BlessNathan ambaye ni mhariri wa wikipedia wa makala mbalimbali za kijamii na mjumbe wa Wikimedia Community User Group Tanzania. Mhariri huyu ni mtaalamu wa tarakilishi (kompyuta) na TEHAMA katika chuo kikuu cha Dar es Salaam.