Nenda kwa yaliyomo

Mtumbwi wa Dufuna

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mtumbwi huu wenye umri wa miaka 8,000 uligunduliwa mwaka 1987, ukiwa ni mashua ya pili kongwe duniani.

Mtumbwi wa Dufuna ni mtumbwi uliogunduliwa mwaka 1987 na mchungaji wa ng'ombe wa Wafulani kilomita chache kutoka kijiji cha Dufuna katika eneo la serikali ya mtaa wa Fune, karibu na mto Komadugu Gana, katika Jimbo la Yobe, Nigeria.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Garba, Abubakar (1996). "The architecture and chemistry of a dug-out: the Dufuna Canoe in ethno-archaeological perspective". Berichte des Sonderforschungsbereichs. 268 (8): 193. S2CID 207909025.
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mtumbwi wa Dufuna kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.