Nenda kwa yaliyomo

Yenisey

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Mto Yenisei)
Yenisey
Mto Yenisei
Chanzo Mto Ka-Hem, Urusi
Mdomo Bahari ya Kara
Nchi Urusi
Urefu 3,487 km
Kimo cha chanzo 650 m
Mkondo 19,800 m³/s
Eneo la beseni 2,580,000 km²
Miji mikubwa kando lake Kyzyl, Abakan, Krasnoyarsk, Lesosibirsk, Yeniseysk, Igarka, Dudinka

Yenisey au Yenisei (kwa Kirusi: Енисей) ni mto mrefu wa Siberia, Urusi. Urefu wake ni km. 3487. Uko katika mkoa wa Tuva, Krasnoyarsk Krai na Hakasia.

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii kuhusu maeneo ya Urusi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Yenisey kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.