Msikiti wa Nurul Islam
Mandhari

Msikiti wa Nurul Islam ni msikiti unaopatikana mjini Bo-Kaap eneo la Cape Town, Afrika Kusini.
Wakati ulipoanzishwa mnamo 1844, jengo lilikuwa linaweza kupokea waumini 150. Mwaka wa 2001 walilikarabati, na sasa linaweza kupokea waumini wapatao 700.[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Nurul Islam Mosque Ilihifadhiwa 8 Julai 2015 kwenye Wayback Machine. official website
33°55′19″S 18°24′56″E / 33.92194°S 18.41556°E
| Makala hii kuhusu msikiti au sehemu nyingine za kuabudia Waislamu bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Msikiti wa Nurul Islam Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |