Mohamed Yakub Janabi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Profesa Mohamed Yakub Janabi ni Mkurugenzi mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.

Mwaka 2005 alichaguliwa kuwa daktari binafsi wa Rais mstaafu wa awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete.[1]

Elimu yake[hariri | hariri chanzo]

Dkt. Janabi amepata kusoma katika vyuo mbali mbali ndani na nje ya Tanzania. Vyuo hivyo ni pamoja na:-

  1. Kharkov Medical Institute (Russia)
  2. Liverpool School of Tropical Medicine (England)
  3. University of Queensland Medical School (Australia)
  4. Graduate School of Medicine Osaka University Hospital (Japan)
  5. Bergen University (Norway).[2]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]