Mlima Satima

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mlima Satima (kutoka Kimasai: Oldoinyo Lesatima, yaani "mlima wa ndama"[1]) ni kilele kirefu zaidi cha milima ya Aberdare nchini Kenya ukiwa na kimo wa mita 4,001 juu ya usawa wa bahari[2][3][4].

Satima ni mlima wa tatu kwa urefu nchini Kenya. Unapatikana katika kaunti ya Nyeri.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Mary Fitzpatrick, Matthew Fletcher, David Wenk, Trekking in East Africa (Lonely Planet Publications, 2003), p. 190
  2. "Africa Ultra-Prominences" Peaklist.org. Listed as "Oldoinyo Lesatima". Retrieved 2012-01-10.
  3. New Encyclopædia Britannica vol. 1 (2005): "The range has an average elevation of 11000 feet (3350 m) and culminates in Oldoinyo Lesatima (13120 feet [3999 m]) and Ilkinangop (12815 feet [3906 m])."
  4. Mohamed Amin, Duncan Willetts, Brian Tetley, Kenya: the magic land (Bodley Head, 1988), p. 126

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Scott, Penny (1998). From Conflict to Collaboration: People and Forests at Mount Elgon, Uganda. IUCN. ISBN 2-8317-0385-9. 

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

0°20′59″S 36°37′00″E / 0.34972°S 36.61667°E / -0.34972; 36.61667Coordinates: 0°20′59″S 36°37′00″E / 0.34972°S 36.61667°E / -0.34972; 36.61667