Mlima Pico

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mlima Pico

Mlima Pico ni mlima mrefu kuliko yote ya funguvisiwa la Azori, katika bahari ya Atlantiki.

Ni volkeno hai ambayo iko katika kisiwa cha Pico.

Ina urefu wa mita 2,351, hivyo inazidi milima yote ya Ureno..

Marejeo[hariri | hariri chanzo]


Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Ureno bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mlima Pico kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.