Mlima Oldeani

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mlima Oldeani ni mlima wenye asili ya volkeno kaskazini mwa Tanzania.

Mlima una kimo cha mita 3,207 juu ya usawa wa bahari.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]