Mlima Longido

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mlima Longido

Mlima Longido ni mlima wenye asili ya volkeno kaskazini mwa Tanzania.

Mlima una kimo cha mita 2,556 juu ya usawa wa bahari.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]