Mlima Kinangop
Mlima Kinangop ni kilele kirefu cha pili cha milima ya Aberdare nchini Kenya ukiwa na kimo wa mita 3,906 juu ya usawa wa bahari[1]
Kinango ni mlima wa nne kwa urefu nchini Kenya na ina asili ya volikano. Unapatikana katika Hifadhi ya Taifa ya Aberdare.
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Orodha ya milima ya Kenya
- Orodha ya milima ya Afrika
- Orodha ya milima
- Orodha ya volkeno nchini Kenya
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ New Encyclopædia Britannica vol. 1 (2005): "The range has an average elevation of 11000 feet (3350 m) and culminates in Oldoinyo Lesatima (13120 feet [3999 m]) and Ilkinangop (12815 feet [3906 m])."
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- Aberdares South to North (Njabini to Mutubio). Mountain Club of Kenya (November 24, 2011).
- Brewer, Wesley C. (2005). Beyond the Sangres: A Tale of Hope, Pain, And Courage. iUniverse. ISBN 0-595-35068-2.
- Mani, M. S. (1968). Ecology and biogeography of high altitude insects. Springer. ISBN 90-6193-114-2.
- Wielochowski, Andrew (1999). Aberdare Mountains 3999m. EWP. Jalada kutoka ya awali juu ya 2015-08-11. Iliwekwa mnamo 2021-09-08.
![]() | Makala hii kuhusu maeneo ya Kenya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Mlima Kinangop kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |