Mkoa wa Kolda

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa Kolda nchini Senegal
Wilaya za Kolda

Mkoa wa Kolda ni mkoa mmojawapo nchini Senegal. Makao makuu yako mjini Kolda . Eneo la mkoa ni kilomita za mraba 13,771. Wakati wa sensa ya mwaka 2013 mkoa ulikuwa na wakazi 714,392.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Senegal: Administrative division, tovuti ya citypopulation.de, iliangaliwa Januari 2022