Mkoa wa Kedougou

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa Kedougou nchini Senegal
Wilaya za Kedougou

Mkoa wa Kédougou ni mkoa mmojawapo nchini Senegal. Makao makuu yako mjini Kédougou . Eneo la mkoa ni kilomita za mraba 16,800. Wakati wa sensa ya mwaka 2013 mkoa ulikuwa na wakazi 152,357.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Senegal: Administrative division, tovuti ya citypopulation.de, iliangaliwa Januari 2022