Mjusi-kafiri

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mjusi-kafiri
Nikwata (Hemidactylus frenatus)
Nikwata (Hemidactylus frenatus)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Nusufaila: Vertebrata (Wanyama wenye uti wa mgongo)
Ngeli: Reptilia (Wanyama wenye damu baridi na magamba ngozini)
Oda: Squamata (Mijusi, mijusi-nyungunyungu na nyoka)
Nusuoda: Lacertilia (Mjusi)
Oda ya chini: Gekkota (Mijusi-kafiri)
Ngazi za chini

Familia 7:

  • Carphodactylidae
  • Diplodactylidae
  • Eublepharidae (Mijusi-kafiri wenye kope)
  • Gekkonidae (Mijusi-kafiri wa kawaida)
  • Phyllodactylidae
  • Pygopodidae (Mijusi-kafiri bila miguu)
  • Sphaerodactylidae

Mijusi-kafiri ni mijusi wa oda ya chini Gekkota wasio na kope (isipokuwa familia Eublepharidae) na wanaokiakia usiku (isipokuwa mijusi-kafiri mchana). Spishi zinazoishi katika nyumba za watu huitwa nikwata pia.

Mijusi hawa ni kundi lenye spishi nyingi kuliko makundi mengine: takriban spishi 1500, nyingi katika Afrika.

Spishi zilizochaguliwa za Afrika ya Mashariki[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Spawls, S., Howell, K., Drewes, R. & Ashe, J. (2002) A field guide to the Reptiles of East Africa. Academic Press, San Diego, CA, USA.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mjusi-kafiri kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.