Miyu Yakata

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Miyu Yakata (alizaliwa 30 Desemba 1999) ni mchezaji wa mpira wa miguu nchini Japani ambae anacheza kama mshambuliaji wa klabu ya Cerezo Osaka Yanmar Ladies inayoshiriki ligi ya wanawake ya WE League .[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Scoresheet". weleague.jp. 
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Miyu Yakata kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.