Milima ya Taita

Majiranukta: 3°25′S 38°20′E / 3.417°S 38.333°E / -3.417; 38.333
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Milima ya Taita


Milima ya Taita (kwa Kiingereza: Taita Hills, pia Teita Hills) iko kusini mashariki mwa Kenya, katika kaunti ya Taita-Taveta.

Ni sehemu ya milima ya Tao la Mashariki ambayo ina miaka zaidi ya milioni 100[1] .

Milima ni hasa mitatu: Dabida, Sagalla na Kasigau. Mkubwa zaidi ni Dawida ambao unafikia metre 2 228 (ft 7 310) juu ya usawa wa bahari katika kilele cha Vuria. Vingine ni: Iyale, Wesu, and Susu.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Briggs, Philip (2009). Northern Tanzania: The Bradt Safari Guide with Kilimanjaro and Zanzibar. Bradt Travel Guides. ku. 20–21. ISBN 978-1-84162-292-7. 

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

3°25′S 38°20′E / 3.417°S 38.333°E / -3.417; 38.333