Nenda kwa yaliyomo

Miglitoli

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Miglitoli (Miglitol), inayouzwa kwa jina la chapa Glycet, ni dawa inayotumika kutibu kisukari cha aina ya 2.[1] Inachukuliwa kwa njia ya mdomo[1] na inatumika pamoja na mpangilo maalumu wa lishe na mazoezi.[1]

Madhara yake ya kawaida ni pamoja na kuhara, maumivu ya tumbo, na kuongezeka kwa gesi ya matumbo.[1] Naam, hakuna ushahidi wa madhara ya matumizi yake katika ujauzito, lakini matumizi hayo hayajafanyiwa utafiti vizuri.[2] Ni kizuizi cha α-glucosidase ambacho hupunguza ugawanyaji wa kabohaidreti changamani kuwa glukosi.[1]

Miglitol iliidhinishwa kwa ajili ya matumizi ya kimatibabu nchini Marekani mwaka wa 1996 [1] na inapatikana kama dawa ya kawaida.[3] Nchini Marekani, inagharimu takriban dola 24 za Marekani kwa mwezi kufikia mwaka wa 2021.[3]

  1. 1.0 1.1 1.2 1.3 1.4 1.5 "Miglitol Monograph for Professionals". Drugs.com (kwa Kiingereza). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 14 Agosti 2020. Iliwekwa mnamo 18 Novemba 2021.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. "Miglitol (Glyset) Use During Pregnancy". Drugs.com (kwa Kiingereza). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 3 Desemba 2020. Iliwekwa mnamo 18 Novemba 2021.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  3. 3.0 3.1 "Miglitol Prices, Coupons & Savings Tips - GoodRx". GoodRx. Iliwekwa mnamo 18 Novemba 2021.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
Makala hii kuhusu mambo ya tiba bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Miglitoli kama sababu yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.