Nenda kwa yaliyomo

Michoro ya mwambani ya Bahi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Michoro ya mwambani ya Bahi ni michoro ya miambani ya Bahi ni sanaa ya miambani inayopatikana katika maeneo matatu ya mkoa wa Dodoma nchini Tanzania.[1][2][3]

Michoro hii yenye rangi nyeupe inaaminika kuwa ni bidhaa za watu wa Wamia, ambao walimiliki mkoa huo kabla ya Wagogo (wakazi wa sasa).

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Culwick, A. T. (1931). "Some Rock-Paintings in Central Tanganyika". The Journal of the Royal Anthropological Institute of Great Britain and Ireland. 61: 443–453. doi:10.2307/2843931. ISSN 0307-3114. JSTOR 2843931.
  2. Culwick, A. T. (1931). "Ritual Use of Rock Paintings at Bahi, Tanganyika Territory". Man. 31: 33–36. doi:10.2307/2789532. ISSN 0025-1496. JSTOR 2789532.
  3. Willcox, A. R. (1984). The rock art of Africa. New York: Holmes & Meier Publishers. ISBN 0841909059. OCLC 9761731.
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Michoro ya mwambani ya Bahi kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.