Michael Laudrup

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Michael Laudrup (alizaliwa 15 Juni 1964) ni mchezaji wa zamani wa mpira wa miguu wa Denmark. Aliwahi kucheza timu ya taifa ya Denmark.

Laudrup ameichezea timu ya taifa ya Denmark tangu mwaka wa 1982. Laudrup alicheza Denmark katika mechi 103, akifunga mabao 35.[1]

Takwimu[hariri | hariri chanzo]

[1]

Timu ya Taifa ya Denmark
Mwaka Mechi Magoli
1982 3 2
1983 4 5
1984 13 2
1985 6 6
1986 10 1
1987 4 0
1988 9 1
1989 8 4
1990 6 3
1991 0 0
1992 0 0
1993 4 0
1994 8 3
1995 9 5
1996 8 1
1997 2 1
1998 9 1
Jumla 103 35

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. 1.0 1.1 Michael Laudrup at National-Football-Teams.com
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Michael Laudrup kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.