Mbulelo Mzamane

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mbulelo V. Mzamane (amezaliwa 1948) ni mwandishi wa Afrika Kusini. Pia ni mhadhiri na profesa wa fasihi. Ameandika hadithi na insha za uhakiki.

Maandishi yake[hariri | hariri chanzo]

  • Mzala (1980)
  • The Children of Soweto (1982)

Angalia pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Chapman, Michael. 2003. Southern African Literatures, University of Natal Press. ISBN 1-86914-028-1
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mbulelo Mzamane kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.