Nenda kwa yaliyomo

Marzia Caravelli

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Marzia Caravelli

Marzia Caravelli (alizaliwa 23 Oktoba 1981 huko Pordenone) ni mwanariadha wa Italia anayeshindana kwenye mbio za kuruka viunzi (hurdles).

Marzia Caravelli alishika nafasi ya tatu katika Mashindano ya Ulaya ya Timu ya 2011 yaliyofanyika Stockholm. Rekodi yake bora ya mbio za kuruka viunzi za mita 100 ni 12.85 sekunde, aliyoipata Montgeron tarehe 13 Mei 2012.[1]

  1. "Il doppio record di Abate e Caravelli" (kwa Kiitaliano). Fidal.it. 13 Mei 2012. Iliwekwa mnamo 14 Mei 2012.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Marzia Caravelli kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.