Martha Mwaipaja

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mwimbaji nyota wa Muziki wa Injili wa Afrika Mashariki na Kati kutoka Tanzania. Martha Mwaipaja na mumewe wakitembelea Wakimbizi kutoka Rwanda, Burundi na hasa kabila la Membe toka DRC

Martha Mwaipaja (pia anajulikana kwa jina Martha Esau Mwaipaja; amezaliwa 1980) ni msanii, mwanamuziki na mwandishi wa nyimbo za Injili kutoka nchini Tanzania ambaye anajulikana sana Afrika Mashariki.[1]

Albamu[hariri | hariri chanzo]

Albamu ya Martha Mwaipaja ambayo inajulikana zaidi ni Ombi Langu Kwa Mungu[2]

  • 1. Jaribu Kwa Mtu
  • 2. Ombi Langu Kwa Mungu
  • 3. Adui Wa Mtu
  • 4. Yesu Ni Mzuri
  • 5. Kweli Nimetambua
  • 6. Kaa Nami Tena
  • 7. Nani Ajuae
  • 8. Sifa Zivume

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-12-21. Iliwekwa mnamo 2018-11-17. 
  2. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2018-11-19. Iliwekwa mnamo 2018-11-17. 
Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani wa Afrika bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Martha Mwaipaja kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.