Mangambeu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mangambeu ni mtindo wa muziki maarufu wa watu wa Bangangte, kamerun. Ulipewa umaarufu na Pierre Diddy Tchakounte. Hivi sasa, waimbaji wengine, kama vile Kareyce Fotso, wanaendelea kuimba kwa mtindo huu.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Atome (2017-07-04). Kareyce Fotso: Ma musique est d'abord Camerounaise (fr-FR). Voila Moi. Iliwekwa mnamo 2022-04-30.