Nenda kwa yaliyomo

Majadiliano:Shirika la Reli Tanzania

Yaliyomo ya ukurasa hayatumiki katika lugha nyingine.
Weka mada
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Latest comment: miaka 12 iliyopita by Muddyb Blast Producer in topic Shirika la Reli Tanzania

Shirika la Reli Tanzania

[hariri chanzo]

Salaam. Ndugu, huku kwetu tunaita Shirika la Reli Tanzania. Na si "ya"... Uzito wa jambo katika kutamka ndiyo huipa hadhi nomino husika. Hapa "la" ndiyo mwake na si ya. Wako mtiifu, Bonge a.k.a--MwanaharakatiLonga 07:30, 30 Mei 2014 (UTC)Reply

Ahsante, sahihisho tayari Kipala (majadiliano) 08:13, 30 Mei 2014 (UTC)Reply
Haya, ninashukuru kwa kusikiza wito! Pamoja sana.--MwanaharakatiLonga 14:11, 30 Mei 2014 (UTC)Reply