Majadiliano:Ngono zembe

Yaliyomo ya ukurasa hayatumiki katika lugha nyingine.
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Salaam. Kiungo kwenda Wikipedia ya Kiingereza kinakinzana na maana ya makala hii. Zembe sio SAFE. Tafadhali tazama tena kwa umakini!--MwanaharakatiLonga 14:56, 12 Agosti 2014 (UTC) [jibu]

Ni kweli, lakini ukiandika "Unprotected sex" Wikidata inakuelekeza (redirect) kwenye "Safe sex". Mada ni ileile. --Riccardo Riccioni (majadiliano) 11:12, 13 Agosti 2014 (UTC)[jibu]