Majadiliano:Ndoa katika Uislamu

Yaliyomo ya ukurasa hayatumiki katika lugha nyingine.
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kwa bahati mbaya yote kopipaste[hariri chanzo]

Makala yote ni kopi-paste kutoka HAPA, na ZAIDI HAPA. Ilhali ni mchango wa kwanza wa mchangiaji mpya naona tumwachie wiki 1 au mbili asahihishe kama anaelewa, Kama sivyo, ifutwe. Kipala (majadiliano) 13:29, 26 Oktoba 2016 (UTC)[jibu]

Naona mchangiaji amerekebisha mambo hayo yote. Makala sasa ibaki. --Baba Tabita (majadiliano) 21:17, 8 Desemba 2016 (UTC)[jibu]