Maida Hamad Abdallah

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Maida Hamad Abdallah (amezaliwa 17 Januari 1975) ni Mbunge katika Bunge la Tanzania tangu 2005. Alirudishwa mwaka 2010, 2015 na 2020[1] kama mbunge wa viti maalum kupitia chama cha Mapinduzi (CCM).[2]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. https://www.parliament.go.tz/administrations/146 Tovuti la Bunge liliangaliwa Aprili 2022
  2. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2020-01-25. Iliwekwa mnamo 2020-01-25. 

Chanzo[hariri | hariri chanzo]