Nenda kwa yaliyomo

Madeleine Memb

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Madeleine Memb (alizaliwa tarehe 14 Julai mnamo mwaka 1957) ni mwandishi wa habari wa Kamerun, mtayarishaji wa vipindi mbali mbali vya redio, na mwanaharakati wa haki za wanawake. Tangu mwaka 2006, ameongoza mradi unaolenga kutokomeza ukeketaji wa wanawake nchini Kamerun[1].


Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Madeleine Memb kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.