Ngonjera : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Ngonjera''' ni shairi maalumu ambalo linafuata kanuni za vina na mizani na kutungwa na kughaniwa kwa mtindo kama wa kulumbana kati ya msan...'
 
kuboresha
Mstari 1: Mstari 1:
'''Ngonjera''' ni aina ya mashairi ya majibizano baina ya pande / watu wawili (2) au zaidi. Aghalabu mazungumzo hayo huwa na mijadala ya malumbano yenye kusudio la kutoa ujumbe maalumu kwa hadhira au jamii husika. Msemaji mmoja huuliza swali katika ubeti mmoja na mwingine hutoa jibu katika ubeti unaofuata na majibizano ya hoja kuendelea hivyo hadi kukamilisha mada ya mjadala husika. Kutokana na sifa hiyo, ndiyo maana kipera cha ngonjera kinapatikana katika utanzu wa ushairi na katika utanzu wa maagizo. Muundo ni sawa kabisa na mashairi.
'''Ngonjera''' ni [[shairi]] maalumu ambalo linafuata kanuni za [[Kina|vina]] na [[mizani]] na kutungwa na kughaniwa kwa mtindo kama wa kulumbana kati ya [[msanii|wasanii]] wanaolitoa [[hadhara]] ya [[watu]], kila mmoja akitoa [[hoja]] au kuijibu mpaka kufikia mwafaka au maafikiano kati yao.

{{mbegu-lugha}}
{{mbegu-lugha}}


[[Jamii:Sanaa]]
[[Jamii:Sanaa]]
[[Jamii:Fasihi]]

Pitio la 07:27, 16 Aprili 2017

Ngonjera ni aina ya mashairi ya majibizano baina ya pande / watu wawili (2) au zaidi. Aghalabu mazungumzo hayo huwa na mijadala ya malumbano yenye kusudio la kutoa ujumbe maalumu kwa hadhira au jamii husika. Msemaji mmoja huuliza swali katika ubeti mmoja na mwingine hutoa jibu katika ubeti unaofuata na majibizano ya hoja kuendelea hivyo hadi kukamilisha mada ya mjadala husika. Kutokana na sifa hiyo, ndiyo maana kipera cha ngonjera kinapatikana katika utanzu wa ushairi na katika utanzu wa maagizo. Muundo ni sawa kabisa na mashairi.

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ngonjera kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.