Giza (Misri) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 18: | Mstari 18: | ||
}} |
}} |
||
[[Image:Giza_kutoka_juu.jpg|right|thumb|300px|Giza inavyoonekana kutoka angani: Bonde la Nile na mwanzo wa jangwa penye piramidi]] |
[[Image:Giza_kutoka_juu.jpg|right|thumb|300px|Giza inavyoonekana kutoka angani: Bonde la Nile na mwanzo wa jangwa penye piramidi]] |
||
'''Giza''' ([[Kar.]]: الجيزة ''al-gīza'') ni mji wa kaskazini ya [[Misri]] unaopakana na mji mkuu [[Kairo]]. Kuna wakazi 2,443,490 (2005). |
'''Giza''' (pia: '''Gizeh''', kutoka [[Kar.]]: الجيزة ''al-gīza'') ni mji wa kaskazini ya [[Misri]] unaopakana na mji mkuu [[Kairo]]. Kuna wakazi 2,443,490 (2005). |
||
Mji wa Giza waonekana kama mtaa wa Kairo tu lakini ni mji wa pekee. Zamani ilitengwa na mji mkuu kwa uwazi wa mashamba lakini siku hizi miji yote miwili imekua hadi kugusana kabisa. |
Mji wa Giza waonekana kama mtaa wa Kairo tu lakini ni mji wa pekee. Zamani ilitengwa na mji mkuu kwa uwazi wa mashamba lakini siku hizi miji yote miwili imekua hadi kugusana kabisa. |
Pitio la 08:36, 4 Oktoba 2016
Giza | |
Mahali pa mji wa Giza katika Misri |
|
Majiranukta: 30°01′N 31°13′E / 30.017°N 31.217°E | |
Nchi | Misri |
---|---|
Mkoa | Giza |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 2,443,490 |
Giza (pia: Gizeh, kutoka Kar.: الجيزة al-gīza) ni mji wa kaskazini ya Misri unaopakana na mji mkuu Kairo. Kuna wakazi 2,443,490 (2005).
Mji wa Giza waonekana kama mtaa wa Kairo tu lakini ni mji wa pekee. Zamani ilitengwa na mji mkuu kwa uwazi wa mashamba lakini siku hizi miji yote miwili imekua hadi kugusana kabisa.
Giza yajulikana hasa kama mahali pa piramidi.