Seli : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 117 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q7868 (translate me)
d →‎Muundo wa seli: All info is kept in Wikidata, removed: {{Link FA|es}} (5) using AWB (10903)
Mstari 17: Mstari 17:


[[Jamii:Biolojia]]
[[Jamii:Biolojia]]

{{Link FA|es}}
{{Link FA|ka}}
{{Link FA|mk}}
{{Link FA|vi}}
{{Link FA|ca}}

Pitio la 21:29, 22 Aprili 2015

Seli za ngozi ya mtu chini ya hadubini

Seli (kutoka Kilatini cellula = chumba kidogo) ni chumba kidogo ndani ya mwili wa binadamu, wanyama na mimea. Mwili wote wa kila kiumbehai hufanywa na seli. Viumbehai vidogo sana kama bakteria huwa na seli moja tu. Mwili wa mwanadamu huwa na seli trilioni 100 au 1014. Kila yai ni seli moja hivyo seli kubwa duniani ni yai la mbuni. Seli za kawaida ni ndogo sana hutazamiwa kwa kutumia hadubini.

Muundo wa seli

Seli zinatofautiana kisasi kati ya doeni za viumbehai. Bakteria na archaea huwa na seli za mfuto lakini seli za eukaryota zina vitu ndani zao.

Kimsingi seli za eukaryota huwa na


Makala hii kuhusu mambo ya biolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Seli kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.