Owen Chamberlain : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d robot Adding: bg:Оуен Чембърлейн, zh:欧文·张伯伦 Modifying: lt:Owen Chamberlain |
d robot Adding: bn:ওয়েন চেম্বারলেইন |
||
Mstari 12: | Mstari 12: | ||
[[bg:Оуен Чембърлейн]] |
[[bg:Оуен Чембърлейн]] |
||
[[bn:ওয়েন চেম্বারলেইন]] |
|||
[[ca:Owen Chamberlain]] |
[[ca:Owen Chamberlain]] |
||
[[cs:Owen Chamberlain]] |
[[cs:Owen Chamberlain]] |
Pitio la 10:40, 27 Novemba 2007
Owen Chamberlain (10 Julai, 1920 – 28 Februari, 2006) ni mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Hasa alifanya utafiti wa fizikia ya kiini na kugundua vipande vingi vya atomu. Mwaka wa 1959, pamoja na Emilio Segre alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |