Tsung-Dao Lee : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d robot Adding: cs:Li Čeng-tao
Mstari 14: Mstari 14:
[[bg:Цундао Ли]]
[[bg:Цундао Ли]]
[[ca:Tsung-Dao Lee]]
[[ca:Tsung-Dao Lee]]
[[cs:Li Čeng-tao]]
[[de:Tsung-Dao Lee]]
[[de:Tsung-Dao Lee]]
[[en:Tsung-Dao Lee]]
[[en:Tsung-Dao Lee]]

Pitio la 16:32, 9 Novemba 2007

Faili:TD Lee-med.jpg
Tsung-Dao Lee

Tsung-Dao Lee (amezaliwa 25 Novemba, 1926) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya China; baadaye alihamia Marekani. Hasa alichunguza vipande vya atomu na nadharia yake. Mwaka wa 1957, pamoja na Chen Ning Yang alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.