Charlotte Amalie : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.2+) (Robot: Modifying az:Şarlotta-Amaliya to az:Şarlotta Amaliya
d r2.7.3) (Robot: Modifying ko:샬럿 아말리에 to ko:샬럿아말리에
Mstari 60: Mstari 60:
[[ja:シャーロット・アマリー]]
[[ja:シャーロット・アマリー]]
[[ka:შარლოტა-ამალია]]
[[ka:შარლოტა-ამალია]]
[[ko:샬럿 아말리에]]
[[ko:샬럿아말리에]]
[[kw:Charlotte Amalie]]
[[kw:Charlotte Amalie]]
[[lt:Šarlotė Amalija]]
[[lt:Šarlotė Amalija]]

Pitio la 19:47, 7 Januari 2013


Charlotte Amalie
Nchi Visiwa vya Virgin vya Marekani

Charlotte Amalie ni mji mwenye wakazi 19,000 kwenye kisiwa cha Saint Thomas na mji mkuu wa Visiwa vya Virgin vya Marekani. Hii ni funguvisiwa ambayo ni sehemu ya Antili Ndogo katika Bahari ya Karibi karibu na Puerto Rico.

Mji ulipewa jina lake kutoka kwa Charlotte Amalie (1650-1714), aliyekuwa mke wa mfalme Christian V wa Denmark. Wakati ule visiwa vilikuwa koloni ya Denmark.



Viungo vya Nje


Makala hii kuhusu maeneo ya Bahari ya Karibi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Charlotte Amalie kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.