Gloria Macapagal Arroyo : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.2+) (Roboti: Imebadilisha: zh-yue:阿羅約
d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza he:גלוריה מקפגל ארויו
Mstari 43: Mstari 43:
[[fr:Gloria Macapagal-Arroyo]]
[[fr:Gloria Macapagal-Arroyo]]
[[gl:Gloria Macapagal-Arroyo]]
[[gl:Gloria Macapagal-Arroyo]]
[[he:גלוריה מקפגל ארויו]]
[[hr:Gloria Macapagal-Arroyo]]
[[hr:Gloria Macapagal-Arroyo]]
[[ia:Gloria Macapagal-Arroyo]]
[[ia:Gloria Macapagal-Arroyo]]

Pitio la 03:03, 25 Oktoba 2012

Rais wa Ufilipino Gloria Macapagal Arroyo

Gloria Macapagal Arroyo (amezaliwa tar. 5 Aprili, 1947) Pia anafamika kwa jina la ufupi kama G.M.A, ni rais wa 14 wa Ufilipino, Ambaye kwa sasa ndiye anae ongoza nchi ya Ufilipino.

Ni rais wa pili wa kike kuongoza nchi ya Ufilipino baada ya Corazon Aquino. ni binti wa rais wa zamani wa Ufilipino mzee Diosdado Macapagal. Kabla ya kuwa rais, mwanzoni alikuwa makamo wa rais wa Ufilipino.

Viungo vya Nje

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons


Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Gloria Macapagal Arroyo kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.