Charles-Albert Gobat : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d robot Adding: ar:شارل ألبير غوبا, bg:Шарл Албер Гоба, zh:夏尔莱·阿尔贝特·戈巴特 |
d robot Adding: id:Albert Gobat |
||
Mstari 19: | Mstari 19: | ||
[[fr:Albert Gobat]] |
[[fr:Albert Gobat]] |
||
[[hr:Charles Albert Gobat]] |
[[hr:Charles Albert Gobat]] |
||
[[id:Albert Gobat]] |
|||
[[it:Charles Albert Gobat]] |
[[it:Charles Albert Gobat]] |
||
[[ja:シャルル・ゴバ]] |
[[ja:シャルル・ゴバ]] |
Pitio la 06:00, 10 Oktoba 2007
Charles-Albert Gobat (21 Mei, 1834 – 16 Machi, 1914) alikuwa mwanasheria na mwanasiasa kutoka nchi ya Uswisi. Pia alikuwa mkurugenzi wa Ofisi ya Amani ya Kimataifa. Mwaka wa 1902, pamoja na Elie Ducommun alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |