Vipimo sanifu vya kimataifa : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Xqbot (majadiliano | michango) d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza frr:SI-Süsteem |
d r2.7.2+) (Roboti: Imebadilisha: frr:SI-süsteem |
||
Mstari 40: | Mstari 40: | ||
[[fi:Kansainvälinen yksikköjärjestelmä]] |
[[fi:Kansainvälinen yksikköjärjestelmä]] |
||
[[fr:Système international d'unités]] |
[[fr:Système international d'unités]] |
||
[[frr:SI- |
[[frr:SI-süsteem]] |
||
[[fur:Sisteme internazionâl di unitâts]] |
[[fur:Sisteme internazionâl di unitâts]] |
||
[[fy:Ynternasjonaal Systeem fan Ienheden]] |
[[fy:Ynternasjonaal Systeem fan Ienheden]] |
Pitio la 10:01, 12 Mei 2012
Vipimo sanifu vya kimataifa (Kifar.: Système International d'unités; kifupi chake: SI) ni utaratibu uliokubaliwa kimataifa kwa kuwa na vizio vya upimaji vya pamoja duniani. Maendeleo na matumizi ya utaratibu huo huangaliwa na Ofisi ya Kimataifa ya Vipimo.
Msingi wa utaratibu huu ni mita. Vizio vingine ni vya urefu (mita), masi (kilogramu), wakati (sekondi), mkondo wa umeme (ampea), halijoto (kelvini), kiasi cha dutu (moli), mwangaza au ukalifu nunurikaji (kandela).
Vipimo hivi hutumika na wanasayansi duniani. Katika maisha ya kawaida kuna vipimo mbalimbali vinavyoweza kuwa tofauti kati ya nchi na nchi.