Vipimo sanifu vya kimataifa : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.5.2) (roboti Badiliko: eo:Internacia sistemo de unuoj
d r2.7.1) (roboti Badiliko: az:Sİ
Mstari 17: Mstari 17:
[[ar:نظام الوحدات الدولي]]
[[ar:نظام الوحدات الدولي]]
[[ast:Sistema Internacional d'Unidaes]]
[[ast:Sistema Internacional d'Unidaes]]
[[az:BS]]
[[az:]]
[[bat-smg:SI]]
[[bat-smg:SI]]
[[be:СІ, міжнародная сістэма адзінак вымярэння]]
[[be:СІ, міжнародная сістэма адзінак вымярэння]]

Pitio la 23:50, 27 Oktoba 2011

Vipimo sanifu vya kimataifa (Kifar.: Système International d'unités; kifupi chake: SI) ni utaratibu uliokubaliwa kimataifa kwa kuwa na vizio vya upimaji vya pamoja duniani. Maendeleo na matumizi ya utaratibu huo huangaliwa na Ofisi ya Kimataifa ya Vipimo.

Msingi wa utaratibu huu ni mita. Vizio vingine ni vya urefu (mita), masi (kilogramu), wakati (sekondi), mkondo wa umeme (ampea), halijoto (kelvini), kiasi cha dutu (moli), mwangaza au ukalifu nunurikaji (kandela).

Vipimo hivi hutumika na wanasayansi duniani. Katika maisha ya kawaida kuna vipimo mbalimbali vinavyoweza kuwa tofauti kati ya nchi na nchi.

Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA