Herode Mkuu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: gl:Herodes |
d r2.5.2) (roboti Badiliko: th:พระเจ้าเฮโรดมหาราช |
||
Mstari 107: | Mstari 107: | ||
[[sv:Herodes den store]] |
[[sv:Herodes den store]] |
||
[[ta:முதலாம் ஹெரொட்]] |
[[ta:முதலாம் ஹெரொட்]] |
||
[[th:พระเจ้า |
[[th:พระเจ้าเฮโรดมหาราช]] |
||
[[tl:Herodes ang Dakila]] |
[[tl:Herodes ang Dakila]] |
||
[[tr:Hirodes]] |
[[tr:Hirodes]] |
Pitio la 02:05, 11 Agosti 2011
Herode Mkuu (73 KK hivi - 4 KK) ni jina la heshima linalotumika kumtajia mtu maarufu zaidi wa ukoo wa kifalme wa Yudea katika karne ya 1 KK.
Akiwa kwa asili mtu wa kabila la Waedomu, alitawala Yudea yote chini ya himaya ya Dola la Roma.
Mkatili hasa, aliua hata mke wake mmojawapo na baadhi ya watoto.
Ingawa alifuata dini ya Uyahudi na kuanza kazi kubwa ya kupanua na kupamba hekalu la Yerusalemu, alizingatia zaidi ustaarabu wa Kigiriki na kuendeleza miji kipagani.
Ni maarufu zaidi kutokana na taarifa za Injili ya Mathayo kuhusu jinsi alivyopokea kutoka kwa Mamajusi habari ya kuzaliwa kwa Mfalme wa Wayahudi, Yesu. Kwa hofu yake aliposhindwa kumtambua mtoto huyo, aliagiza wauawe watoto wote wa kiume chini ya umri wa miaka 2.
Familia
Mke | Watoto |
---|---|
Doride |
|
Mariamne I |
|
Mariamne II |
|
Malthace |
|
Kleopatra wa Yerusalemu |
|
Pallade |
|
Fedra |
|
Elpide |
|