Vistula (mto) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: vi:Wisla |
d roboti Nyongeza: ka:ვისლა |
||
Mstari 55: | Mstari 55: | ||
[[ja:ヴィスワ川]] |
[[ja:ヴィスワ川]] |
||
[[jv:Kali Wisła]] |
[[jv:Kali Wisła]] |
||
[[ka:ვისლა]] |
|||
[[ko:비스와 강]] |
[[ko:비스와 강]] |
||
[[la:Vistula]] |
[[la:Vistula]] |
Pitio la 13:10, 11 Desemba 2010
Kipoland: Wisła | |
---|---|
Chanzo | Milima ya Beskidi |
Mdomo | Bahari ya Baltiki |
Nchi | Poland |
Urefu | 1,047 km |
Kimo cha chanzo | 1,106 m |
Mkondo | 1,054 m³/s |
Eneo la beseni | 194,424 km² Nchi za beseni: Poland, Ukraine, Belarus, Slovakia |
Miji mikubwa kando lake | Krakov, Warshawa, Thorun, Gdansk |
Vistula (Kipoland: Wisła tamka: viswa) ni mto mkubwa nchini Poland mwenye urefu wa 1047 km.
Chanzo chake ni katika milima ya Beskidi inaishia katika Bahari Baltiki. Inapita kwenye miji mikubwa ya Krakov na Warshawa.
Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Vistula (mto) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |