Nile ya buluu : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d robot Adding: ja:青ナイル川
d robot Adding: am:ጥቁር አባይ
Mstari 21: Mstari 21:
[[Category:Mito ya Sudan]]
[[Category:Mito ya Sudan]]


[[am:ጥቁር አባይ]]
[[ca:Nil Blau]]
[[ca:Nil Blau]]
[[da:Blå Nil]]
[[da:Blå Nil]]

Pitio la 11:00, 23 Mei 2007

Mto wa Nile ya buluu (Ethiopia: Abbai)
Maporomoko ya Tis Issat ya Nile ya buluu
Chanzo Ziwa Tana (chemchemi ya Gishe Abbai)
Mdomo Mto Nile mjini Khartum
Nchi Ethiopia, Sudan
Urefu 1.350 km
Kimo cha chanzo 1830 m
Mkondo ?? m³/s
Eneo la beseni 326,400 km²
Ramani ya Nile ya buluu

Nile ya buluu ni tawimto mkubwa wa mto Nile. Inaanza katika Ziwa Tana kwenye nyanda za juu za Ethiopia ikiitwa kwa jina la Abbai. Mdomo wake ni Sudan mjini Khartum inapounganika na Nile nyeupe.

Kwa jumla Nile ya bluu inabeba maji mengi kushinda Nile nyeupe.