Auguste Beernaert : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
+orodha (tazama pia) |
d roboti Nyongeza: yo:Auguste Marie Francois Beernaert |
||
Mstari 44: | Mstari 44: | ||
[[vi:Auguste Beernaert]] |
[[vi:Auguste Beernaert]] |
||
[[vls:August Beernaert]] |
[[vls:August Beernaert]] |
||
[[yo:Auguste Marie Francois Beernaert]] |
|||
[[zh:奥古斯特·贝尔纳特]] |
[[zh:奥古斯特·贝尔纳特]] |
Pitio la 09:07, 24 Agosti 2010
Auguste Marie Francois Beernaert (26 Julai, 1829 – 6 Oktoba, 1912) alikuwa mwanasheria na mwanasiasa kutoka nchi ya Ubelgiji. Kuanzia 1884 hadi 1894 alikuwa Waziri Mkuu na Waziri wa Fedha. Baadaye alikuwa mwakilishi wa Ubelgiji kwenye mikutano ya amani iliyofanyika katika mji wa The Hague mwaka wa 1899 na wa 1907. Mwaka wa 1909, pamoja na Paul d’Estournelles alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel kwa Amani.
Tazama pia
Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Auguste Beernaert kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |