Max Delbruck : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Ondoa: he:מקס דלברוק
d roboti Nyongeza: ar:ماكس دلبروك
Mstari 13: Mstari 13:
{{mbegu-mwanasayansi}}
{{mbegu-mwanasayansi}}


[[ar:ماكس دلبروك]]
[[bn:ম্যাক্স ডেলবুর্ক]]
[[bn:ম্যাক্স ডেলবুর্ক]]
[[ca:Max Delbrück]]
[[ca:Max Delbrück]]

Pitio la 14:09, 20 Mei 2010

Max Delbruck

Max Delbrück (4 Septemba, 19069 Machi, 1981) alikuwa mwanabiolojia kutoka nchi ya Ujerumani. Wakati wa utawala wa Hitler alihamia Marekani. Hasa alichunguza virusi vinavyoharibu vijidudu. Mwaka wa 1969, pamoja na Alfred Hershey na Salvador Luria alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.

Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Max Delbruck kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.