Tlaxcala (jimbo) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: uk:Тласкала (штат) |
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Nyongeza: ka:ტლასკალა (შტატი) |
||
Mstari 45: | Mstari 45: | ||
[[it:Tlaxcala (stato)]] |
[[it:Tlaxcala (stato)]] |
||
[[ja:トラスカラ州]] |
[[ja:トラスカラ州]] |
||
[[ka:ტლასკალა (შტატი)]] |
|||
[[ko:틀락스칼라 주]] |
[[ko:틀락스칼라 주]] |
||
[[kw:Tlaxcala]] |
[[kw:Tlaxcala]] |
Pitio la 20:49, 14 Aprili 2010
Tlaxcala (IPA: [tlasˈkala]) ni moja kati ya majimbo 31 ya Mexiko upande wa kati ya nchi. Mji mkuu ni Tlaxcala na mji mkubwa ni Vicente Guerrero.
Imepakana na Mexico (jimbo), Hidalgo na Puebla. Jimbo lina wakazi wapatao 1,068,207 (2005) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 4,016.
Gavana wa jimbo ni Héctor Ortiz Ortiz.
Lugha rasmi ni Kihispania.
Miji Mikubwa
- Vicente Guerrero (55,760)
- Apizaco (49,459)
- Huamantla (47,286)
- Chiautempan (46,776)
Viungo vya Nje
- (Kihispania) Estado de Tlaxcala Sitio oficial
Makala hii kuhusu maeneo ya Mexiko bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Tlaxcala (jimbo) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |