George Santayana : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d {{defaultsort}}
Mstari 13: Mstari 13:
[[fi:George Santayana]]
[[fi:George Santayana]]
[[pt:George Santayana]]
[[pt:George Santayana]]
[[ru:Сантаяна, Джордж]]
[[sl:George Santayana]]
[[sl:George Santayana]]

Pitio la 20:49, 28 Februari 2007

George Santayana (16 Desemba, 186326 Septemba, 1952) alikuwa mwanafalsafa na mwandishi. Akiwa raia wa Hispania alilelewa na kusoma Marekani, kwa hiyo aliandika kwa lugha ya Kiingereza tu na kuangaliwa kama mwandishi Mmarekani. Anajulikana hasa kwa usemi wake "Wasiojifunza kutoka historia watairudia" (kwa Kiingereza: "Those who cannot learn from history are doomed to repeat it").