Owen Chamberlain : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d robot Adding: no:Owen Chamberlain
Mstari 14: Mstari 14:
[[es:Owen Chamberlain]]
[[es:Owen Chamberlain]]
[[fr:Owen Chamberlain]]
[[fr:Owen Chamberlain]]
[[hi:ओवेन चेम्बेर्लैन]]
[[id:Owen Chamberlain]]
[[id:Owen Chamberlain]]
[[ja:オーウェン・チェンバレン]]
[[ja:オーウェン・チェンバレン]]

Pitio la 02:07, 5 Februari 2007

Owen Chamberlain (10 Julai, 192028 Februari, 2006) ni mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Hasa alifanya utafiti wa fizikia ya kiini na kugundua vipande vingi vya atomu. Mwaka wa 1959, pamoja na Emilio Segre alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.